Usipojua unachotaka

jacobmushi
By jacobmushi
0 Min Read
Huwezi kupewa,
Huwezi kuonyeshwa jinsi ya kukipata,
Hata ukipata hutajua kama umekipata maana hujui unachotaka.
Huwezi kujua cha kufanya utafanya kila kinachokujia mbele yako.
Huwezi kukataa utajikuta unakubali kila kitu,
Huwezi kuomba,
Huwezi kua na maono,
Huwezi kua na ndoto,
Huwezi kua na malengo,
Huwezi kua na mipango.
Hakikisha sana umejua unachokitaka.
Kingdom of Success
Jacob Mushi 2016

ushauri@gmail.com
Share This Article
Follow:
Jacob Mushi is a Tanzanian Author, Minister, Entrepreneur, Founder and CEO of NETPOA.
Leave a comment

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from GUSA MINISTRIES

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading